Alfajiri - Voice Of America
- Autor: Vários
- Narrador: Vários
- Editor: Podcast
- Duración: 24:59:35
- Mas informaciones
Informações:
Sinopsis
Matangazo ya nusu saa kuhusu habari za mapema asubuhi pamoja na habari za michezo.Ratiba: Monday-FridaySaa (kwa saa za huku): 06:00UTC saa ya kimataifa 0300Muda: 30Sikiliza: Podcast
Episodios
-
Marekani: Mamlaka za Baltimore zasitisha shughuli za kutafuta manusura wa ajali ya meli - Machi 27, 2024
27/03/2024 Duración: 29minGavana wa Jimbo la Maryland, Wes Moore, ameweka wazi kuwa hapakuwa na kitendo chochote cha kigaidi baada ya daraja kuu katika mji wa Baltimore kubomoka Jumanne asubuhi wakati meli iliyobeba mizigo kugonga nguzo yake.
-
Senegal: Bassirou Faye aahidi wananchi kwamba ataongoza kwa unyeyekevu na uwazi - Machi 26, 2024
26/03/2024 Duración: 29minMgombea urais kwa tikiti ya upinzani wa Senegal Bassirou Diomaye Faye, mgeni kisiasa, lakini ambaye ni maarufu miongoni mwa vijana wasioridhishwa na utawala uliopo, aliahidi Jumatatu kutawala kwa unyenyekevu na uwazi, wakati akisubiri kutangazwa kuwa rais ajaye.
-
Kura zaendela kuhesbiwa Senegal huku wafuasi wa mgombea kwa tikiti ya upinzani wakishangilia "ushindi" mitaani - Machi 25, 2024
25/03/2024 Duración: 30minHesabu za kwanza katika vituo vya kupigia kura katika uchaguzi wa rais uliocheleweshwa nchini Senegal Jumapili zinaonyesha mgombea wa upinzani Bassirou Diomaye Faye akiongoza. Wafuasi wake walianza kusherekea mitaani baada ya siku ya amani ya uchaguzi ambayo wengi wanatumaini utaleta mabadiliko.
-
Miji mikubwa ya DRC inakabiliwa na joto kali ambalo halijawahi kushuhudiwa - Machi 21, 2024
21/03/2024 Duración: 29min -
Madereva wa mabasi nchini Kenya kufanya tena mtihani wa kuendesha gari - Machi 20, 2024
20/03/2024 Duración: 30min -
Baadhi ya wafanyakazi wa Umoja wa Mataifa waanza kuondoka Haiti huku hali ya sintofahamu ikitanda - Machi 15, 2024
15/03/2024 Duración: 29minUmoja wa Mataifa umeanza kuwaondowa wafanyakazi wake wasio na majukumu muhimu nchini Haiti kutokana na kuongezeka kwa ghasia na ukosefu wa usalama katika taifa hilo la Caribean.
-
Mswada ambao huenda ukaipiga marufuku TikTok Marekani wapitishwa na Baraza la Wawakilishi - Machi 14, 2024
14/03/2024 Duración: 29minBaraza la Wawakilishi la Marekani, Jumatano liliidhinisha mswada, wa kuilazimisha programu maarufu ya mtandao wa kijamii, TikTok, kujitenga na kampuni mama, inayomilikiwa na China, ya ByteDance au kuuza sehemu ya programu hiyo kwa Marekani.
-
Alfajiri - Machi 13, 2024
13/03/2024 Duración: 29minMatangazo ya nusu saa kuhusu habari za mapema asubuhi pamoja na habari za michezo.
-
Marekani yasema yawekea vikwazo mtandao mpana wa taasisi, makampuni na watu binafsi, inaosema unafadhili wanamgambo wa al-Shabaab - Machi 12, 2024
12/03/2024 Duración: 30minAfisi ya Wizara ya Fedha ya Marekani inayohusika na Udhibiti wa Mali za Kigeni (OFAC), Jumatatu imeyawekea vikwazo mashirika 16 na watu binafsi, ambao inasema wanahusika katika mtandao mpana wa biashara unaozunguka Pembe ya Afrika, Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) na Cyprus.
-
Waislamu kuanza mfungo wa Ramadhan Jumatatu - Machi 11, 2024
11/03/2024 Duración: 29minMatangazo ya nusu saa kuhusu habari za mapema asubuhi pamoja na habari za michezo.
-
Rais Joe Biden asifu mafanikio ya utawala wake miezi michache kabla ya uchaguzi wa rais - Machi 08, 2024
08/03/2024 Duración: 29min -
Wamiliki wa shule binafsi nchini Tanzania walalamikia kodi kubwa - Machi 07, 2024
07/03/2024 Duración: 30min -
Biden na Trump waongoza bila pingamizi katika uchaguzi wa mchujo, maarufu Super Tuesday - Machi 06, 2024
06/03/2024 Duración: 30min -
Makamanda wa majeshi ya SADC wakutana kujadili mbinu za kupambana na waasi wa M23 - Machi 04, 2024
04/03/2024 Duración: 30min -
Afrika Mashariki yamkumbuka Hayati Ali Hassan Mwinyi aliyeaga dunia Alhamisi - Machi 01, 2024
01/03/2024 Duración: 30minAli Hassan Mwinyi, ambaye katika awamu mbili kama rais wa Tanzania alisimamia kuanzishwa kwa demokrasia ya vyama vingi na kuanzishwa kwa uchumi huria, amefariki akiwa na umri wa miaka 98.
-
Marekani yakosoa vikali mswada unaotoa adhabu kali kwa wapenzi wa jinsia moja Ghana - Februari 29, 2024
29/02/2024 Duración: 29minMarekani Jumatano ilisema "imefadhaishwa mno" na kupitishwa kwa mswada wa sheria kali dhidi ya wapenzi wa jinsia moja, na bunge la Ghana, na kuhimiza utathminiwe upya, ili kubaini kama unafuata katiba ya nchi hiyo.