Alfajiri - Voice Of America
Baadhi ya wafanyakazi wa Umoja wa Mataifa waanza kuondoka Haiti huku hali ya sintofahamu ikitanda - Machi 15, 2024
- Autor: Vários
- Narrador: Vários
- Editor: Podcast
- Duración: 0:29:59
- Mas informaciones
Informações:
Sinopsis
Umoja wa Mataifa umeanza kuwaondowa wafanyakazi wake wasio na majukumu muhimu nchini Haiti kutokana na kuongezeka kwa ghasia na ukosefu wa usalama katika taifa hilo la Caribean.