Sbs Swahili - Sbs Swahili

Viongozi wadini, Waziri Mkuu waomba uwepo wa heshima na maelewano katika jamii

Informações:

Sinopsis

Viongozi kutoka jumuiya za wayahudi, waislamu na wakristo mjini Sydney wame kemea kwa pamoja vurugu na maneno yakugawanya ambayo yame ibuka kufuatia matukio mawili ya shambulizi ya visu mjini Sydney.