Mazingira Leo, Dunia Yako Kesho
Siku ya kimataifa ya hamasisho kuhusu upotevu na uharibifu wa chakula
- Autor: Vários
 - Narrador: Vários
 - Editor: Podcast
 - Duración: 0:09:59
 - Mas informaciones
 
Informações:
Sinopsis
Wakati mamilioni ya watu wanalala njaa kila siku, chakula kizuri hutupwa mashambani, katika maduka makubwa, mikahawa - na ndiyo, hata katika nyumba zetu wenyewe. Uharibifu wa chakula sio tu kuhusu kile kilicho kwenye sahani zetu. Pia inahusu rasilimali zinazotumiwa kuzalisha chakula hicho: maji, ardhi, nishati, na raslimali watu, zote hupotea wakati chakula kinaharibika.