Wimbi La Siasa

DR Congo: Kabila akutana na wanasiasa wa upinzani jijini Nairobi

Informações:

Sinopsis

Rais wa zamani wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo Joseph Kabila, anakutana na wanasiasa wa upinzani jijini Nairobi, kuanzia Oktoba 14,  wiki mbili baada ya kuhukumiwa kifo na Mahakama ya kijeshi. Wanasiasa hao wanazungumza nini ? Tunachambua.