Learning By Ear Elimu Ya Jamii

Ngano za Afrika – Kipindi 10 – Tumbiri na Kobe

Informações:

Sinopsis

“Wanaopata, wanaoweka. Anayepata kitu fulani njiani anaruhusiwa kukimiliki” Je, ni rahisi namna hiyo kila mara? Sikiliza hadithi ya kobe na tumbiri mjanja aliyelazimika kupata adhabu kuokoa mkia wake!