Learning By Ear Elimu Ya Jamii

Historia – Kipindi 09 – Makundi ya kupigania uhuru

Informações:

Sinopsis

Tangu katikati ya karne ya 20 mataifa yote ya Afrika wamejipatia uhuru. La huzuni ni kwamba baadhi yao yalilazimika kupigana vita vya umwagaji damu kujikomboa, hasa yale yaliyokuwa chini ya utawala wa Wareno. Sawa, babu?