Jukwaa La Michezo
Mashindano ya Kimataifa ya Tong-Il-Moo-Do yafanyika nchini Kenya
- Autor: Vários
- Narrador: Vários
- Editor: Podcast
- Duración: 0:21:01
- Mas informaciones
Informações:
Sinopsis
Kenya yaandaa makala ya 11 ya michuano ya kimataifa ya mchezo wa Tong-Il-Moo-Do jijini Mombasa. Uganda ndio washindi wa CECAFA katika mechi za kufuzu kwa michuano ya CAF ya Shule za Afrika. Al Ahly waishinda Al-Ittihad kutinga Nusu Fainali ya Kombe la Dunia la Vilabu Kisha Paris Saint - Germain yatinga hatua ya 16 bora ya Ligi ya Mabingwa.