Jukwaa La Michezo
AFCON 2024: Michuano ya hatua ya 16 bora kuanza
- Autor: Vários
- Narrador: Vários
- Editor: Podcast
- Duración: 0:23:49
- Mas informaciones
Informações:
Sinopsis
Miongoni mwa yale tuliyokuandalia ni pamoja na michuano ya hatua ya 16 kuwania taji la soka kwa mataifa ya bara Afrika. Mashindano ya mchezo wa mikono bara Afrika yanayoendelea kule Misri na Aryna Sabalenka kushinda mashindano ya Australian Open kwa upande wa wanawake.