Jukwaa La Michezo
Mashindano ya Tour du Rwanda kuanza hapo kesho katika mji wa Kigali
- Autor: Vários
- Narrador: Vários
- Editor: Podcast
- Duración: 0:24:00
- Mas informaciones
Informações:
Sinopsis
Karibu katika makala ya Jukwaa la michezo, leo tumekuandalia mengi ikiwemo kuanza kwa mashindano ya kuendesha baiskeli ya Tour du Rwanda, mazungumzo ya kipekee na waziri wa michezo nchini Tanzania Damas Ndumbaro pamoja na kupigwa marufuku mechi nne kwa mchezaji wa timu ya taifa ya senegal Kreppin Diatta.