Jukwaa La Michezo

Kenya kujenga uwanja mpya kwa ajili ya michuano ya Afcon mwaka 2027

Informações:

Sinopsis

Karibu katika makala ya jukwaa la michezo leo tunaangazia kujengwa kwa uwanja mpya wa michezo nchini kenya, michuano ya klabu bingwa barani afrika pamoja na taifa la ufaransa kukamilisha ujenzi wa kijiji kitakachotumiwa na wanariadha katika michezo ya olimpiki.