Habari Rfi-ki

Ongezeko la matukio ya kigaidi katika nchi mbalimbali barani Afrika inatia hofu

Informações:

Sinopsis

Umoja wa Afrika, unasema ongezeko la matukio ya kigaidi katika nchi mbalimbali inatia hofu na hatua za haraka zinapaswa kuchukuliwa ili kukabiliana na hali hii.