Habari Rfi-ki

Kenya : Vyama vya kisiasa vina umuhimu kujenga demokrasia

Informações:

Sinopsis

Katika makala haya  tunaangazia nchi ya Kenya ambapo chama cha ODM kilichokuwa cha waziri mkuu wa zamani hayati Raila Odinga, kimeadhimisha miaka 20 tangu kuasisiwa kwake. Tunauliza je vya  kisiasa vina mchango gani katika kuimarisha demokrasia hapa Afrika? Skiza makala haya.