Habari Rfi-ki
Kenya : Vyama vya kisiasa vina umuhimu kujenga demokrasia
- Autor: Vários
- Narrador: Vários
- Editor: Podcast
- Duración: 0:09:56
- Mas informaciones
Informações:
Sinopsis
Katika makala haya tunaangazia nchi ya Kenya ambapo chama cha ODM kilichokuwa cha waziri mkuu wa zamani hayati Raila Odinga, kimeadhimisha miaka 20 tangu kuasisiwa kwake. Tunauliza je vya kisiasa vina mchango gani katika kuimarisha demokrasia hapa Afrika? Skiza makala haya.