Siha Njema
Juhudi za wazee kukomesha ukeketaji wa wasichana kaskazini mwa Kenya
- Autor: Vários
- Narrador: Vários
- Editor: Podcast
- Duración: 0:10:04
- Mas informaciones
Informações:
Sinopsis
Ukeketaji wa wasichana bado ni changamoto kubwa katika baadhi ya maeneo ya kaskazini mwa Kenya, licha ya marufuku ya kitaifa na juhudi za uhamasishaji zinazoendelea. Takwimu za Kitaifa KNBS na zile Wizara ya Afya zinaonyesha kuwa asilimia 83 ya wanawake na wasichana wa Marsabit na 66 wa Isiolo tayari wamekeketwa—ikiziweka kaunti hizi miongoni mwa maeneo yenye viwango vya juu zaidi nchini.Sasa wazee maeneo hayo wameanza mchakato kukabiliana na ukeketaji huo