Alfajiri - Voice Of America
- Autor: Vários
- Narrador: Vários
- Editor: Podcast
- Duración: 24:59:34
- Mas informaciones
Informações:
Sinopsis
Matangazo ya nusu saa kuhusu habari za mapema asubuhi pamoja na habari za michezo.Ratiba: Monday-FridaySaa (kwa saa za huku): 06:00UTC saa ya kimataifa 0300Muda: 30Sikiliza: Podcast
Episodios
-
Watu 31 wafariki katika ajali ya barabarani nchini Mali - Februari 28, 2024
28/02/2024 Duración: 30minWatu 31 walifariki nchini Mali Jumanne na wengine 10 kujeruhiwa wakati basi lililokuwa linasafiri kuelekea Burkina Faso lilipoanguka kutoka kwenye daraja kusini mashariki mwa nchi hiyo, wizara ya uchukuzi ilisema.
-
Hatimaye Hungary yaidhinisha Sweden kujiunga na NATO - Februari 27, 2024
27/02/2024 Duración: 29minSweden inatarajiwa kujiunga rasmi na NATO katika siku au wiki zijazo, baada ya Hungary hatimaye kutoa idhini yake siku ya Jumatatu – mwanachama wa mwisho kufanya hivyo.
-
,Maoni mseto baada ya ECOWAS kuiondolea vikwazo serikali ya kijeshi ya Niger - Februari 26, 2024
26/02/2024 Duración: 30minJumuiya ya kiuchumi ya Ukanda wa Afrika Magharibi, ECOWAS, Jumamosi iliondoa baadhi ya vikwazo ilivyokuwa imeiwekea Nige,r baada ya mapinduzi ya kijeshi ya mwaka jana, yaliyomuondoa madarakani Rais Mohamed Bazoum.
-
Rais wa Senegal athibitisha kuwa muhula wake utakamilika Aprili 2 - Februari 23, 2024
23/02/2024 Duración: 30min -
Wapinzani 15 wa Macky Sall wa Senegal wamtaka atangaze uchaguzi wa rais haraka - Februari 22, 2024
22/02/2024 Duración: 30minWagombea 15 kwenye uchaguzi ulioahirishwa nchini Senegal wamemshtumu Rais Macky Sall kuwa na nia mbaya na wameapa kuchukua hatua kuhakikisha tarehe mpya ya uchaguzi inatangazwa kwa haraka.
-
Wauzaji na wakulima wa miraa nchini Uganda walalamikia sheria mpya ya dawa za kulevya - Februari 21, 2024
21/02/2024 Duración: 29min -
Wakenya walalamikia kupanda kwa gharama ya maisha licha ya thamani ya sarafu ya nchi hiyo kuimarika - Februari 16, 2024
16/02/2024 Duración: 29minHisia mseto zaendelea kutolewa kuhusu gharama ya maisha na thamani ya sarafu ya Kenya..